HABARI PICHA :WATUMISHI WA MAMLAKA WAENDELEA KUPATIWA ELIMU YA MATUMIZI YA MFUMO WA ULIPAJI SERIKALINI (MUSE)


Na Innocent Natai 

JANUARI 19/2023 Picha na Matukio mbalimbali zikionyesha washiriki wa mafunzo ya Mfumo wa Ulipaji Serikalini(MUSE) yanayoendelea  katika Ofisi za Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania zilizopo Arusha ,Kukamilika na kuanzwa kutumiwa kwa Mfumo huo kunatarajiwa kusaidia kuongeza makusanyo ya mapato, utarahisisha ulipaji wa fedha pamoja na kutunza kumbukumbu za matumizi ya fedha.

Aidha Mafunzo hayo yamewahusisha Wahasibu, Meneja wa Fedha, Wataalam wa Manunuzi, Maafisa TEHAMA na Maafisa Bajeti,Mafunzo hayo ya natarajiwa kumalizika ndani ya wiki mbili yakilenga kuwajengea uwezo wa kuutumia vilivyo mfumo huo.





Comments

Popular posts from this blog

Ni TPHPA tena! yatwaa tuzo Mshindi wa Kwanza

TPHPA WAKABIDHIWA MAABARA YA KISASA ILIYOGHARIMU BIL.3.8, KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO ATOA MAAGIZO

Kanda ya Kaskazini yatolewa kimasomaso na TPHPA Mashindano ya SHIMMUTA 2024//Yatwaa Mataji Matatu huku ikiweka rekodi Maalumu