KAIMU MKUU WA SEHEMU YA USAJILI NA UDHIBITI WA VIUATILIFU AONGOZA KIKAO CHA KUANDAA BAJETI YA MAMLAKA YA 2023/24 JIJINI ARUSHA
Sehemu ya Wajumbe wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania wakiwa kwenye kikao cha kuandaa Bajeti ya Mamlaka kwa Mwaka 2023/24. Kikao hicho kimefanyika Januari 18, 2023 jijini Arusha ikiwa ni maandalizi ya kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Wakala hiyo kitakachofanyika Januari 20, 2023.
Na Innocent Natai
Kaimu Mkuu wa Sehemu ya Usajili na Udhibiti wa Viuatilifu Dkt Oshingi Shilla, Januari 18,2023 kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka amefungua kikao cha bajeti ya Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) ya mwaka 2023/24 kikao kilichojumuisha wakuu wa idara,vitengo na wakuu wa kanda kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Mamlaka ya TPHPA Jijini Arusha
Comments
Post a Comment